Showing posts with label model. Show all posts
Showing posts with label model. Show all posts

Friday, April 15, 2016

Get New WhatsApp

EMMANUEL ELIAS owner wa SwaggssTV Leo naanza kuisambaza rasmi WhatsApp mpya yenye sifa zifwatazo
1 imepewa uwezo wa kubadili theme's zaidi ya mia tano
2 Hii WhatsApp inauwezo waku kukujulisha kila MTU aye ingi online
3 inauwezo wa
kufanya kazi kwenye tablets na siku za kawaida
4 ni bure

JINSI YA KUIPATA NIKWAKUTUMIWA KWA ACCOUNT YAKO YA FACEBOOK AU EMAIL

KWA FACEBOOK BOFYA HAPA >>> FACEBOOK AU >>EMMANUEL
KWA EMAIL NICHEK HAPA >>>>> EMAIL
INSTAGRAM NA TWITTER NICHEK HAPA >>>> INSTAGRAM >> TWITTER

KWA MAELEZO ZAIDI NICHEK HAPA 0712 396230
NB: hii WhatsApp haipo PLAY STORE

Thursday, January 28, 2016

Picha ya msichana mrembo zaidi duniani

Jilien Alen
huyu ni msichana kutoka bara la ulaya ambaye ameingia kwenye jopo la wasichna wanao pendekezwa kuwa ni wasichana warembo zaidi duniani Na hii nikutokana na uchunguzi unaoendeshwa na jarida maarufu sana nchini  marekani ambalo lina jishughulisha sana na urembo

Friday, January 22, 2016

Man Utd wakana kukutana na Guardiola

Manchester United wamekanusha habari kwamba walikutana na kuzungumza na meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola kuhusu uwezekano wake kuwa meneja wao.
Tovuti ya France Football ilikuwa imesema mkutano huo ulifanyika mjini Paris lakini United wamesema habari hizo si za kweli.
Meneja wa sasa wa United Louis van Gaal amekabiliwa na shinikizo baada ya klabu hiyo kutofanya vyema ligini Uingereza na Ulaya..
Guardiola, 45, anataondoka Bayern Munich majira yajayo ya joto na amesema amepokea maombi kutoka kwa klabu kadha za Uingereza.
Manchester City wamo kwenye nafasi nzuri ya kumchukua, lakini Chelsea na United wamedaiwa kumtafuta pia.
Bayern Munich walikuwa kwenye kambi ya mazoezi Doha wakati wa mapumziko ya msimu wa baridi na watarejea kucheza Ijumaa dhidi ya Hamburg.

habri kwa hisani ya bbc

Wednesday, January 20, 2016

CHAN: Rwanda yafuzu robofainali

Rwanda imekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa robofainali ya michuano ya taifa bingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani baada ya kuilaza Gabon.
Rwanda, ambao ni wenyeji, wameandikisha ushindi wa 2-1 dhidi ya Gabon, kwenye mechi hiyo iliyochezewa uwanja wa Amahoro.
Mabao ya Rwanda yamefungwa na Sugira Ernest, la kwanza mwishoni mwa kipindi cha kwanza na la pili mapema kipindi cha pili.
Rwanda ilifungua michuano hii kwa kucharaza Ivory Coast, ambao watakutana na Morocco baadaye leo, mabao 1 -0.

Monday, January 18, 2016

How to Lose Weight Fast: 3 Simple Steps, Based on Science

There are many ways to lose a lot of weight fast. However, most of them will make you hungry and unsatisfied.
If you don’t have iron willpower, then hunger will cause you to give up on these plans quickly.
The 3-step plan outlined here will:
  • Reduce your appetite significantly.
  • Make you lose weight fast, without being hungry.
  • Improve your metabolic health at the same time.
All of this is supported by scientific studies.

Friday, July 10, 2015

Model

Name.catherine
age.20
naishi .A_city
instagram.hotcattie

Model

Name ::Rose
Age    :: 19
Position: : Model
instagram : rowseyfrankie

Monday, July 6, 2015