Mcheza filamu raia wa kenya Lupita
Nyong'o ameungana na wacheza filamu wengine kushutumu kutojumuishwa kwa
wacheza filamu weusi au wale wachache kutoka kwa orodha ya wale
wanaowania tuzo za Oscars.
Katika akaunti yake ya Istagram Lupita amesema amekasirishwa sana na kukosa kujumuishwa kwa wacheza filamu weusi.from bbc

No comments:
Post a Comment