Thursday, April 21, 2016

FAREED MUSA wa Azam kuelekea Hispania leo kwa Majaribio

winga chipukizi wa klabu ya Azam fc Fareed Mussa (wa katikati) leo hii anatarajia kuondoka nchini hapa na kuelekea Hispania kwa majaribio ya kucheza soka la kulipwa
    Fareed huko atafanya majaribio na timu za MALAGA na LAS PALMAS Atarejea tanzania may 19

No comments:

Post a Comment