Monday, April 25, 2016

DC HAPI ATEMBELEA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE-MOROCCO LEO.


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Salum Hapi leo ametembelea ujenzi unaoendelea wa upanuzi wa barabara ya Mwenge-Morocco kuona maendeleo yake. Barabara hiyo ambayo ilikua na kero kubwa ya foleni iliamriwa kupanuliwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli katika hatua yake ya kubana matumizi na kupeleka fedha katika shughuli za maendeleo.
Katika ziara yake hiyo Mh. Hapi alitembea umbali wa mita 500 kwa miguu kukagua pia usafi wa mazingira ya kando ya barabara ambapo alipofika katila kituo cha mafuta cha Total, aliagiza uongozi wa kituo kufanya usafi wa mazingira yaliyo mbele ya kituo chao.
Aidha Mh. Mkuu wa Wilaya pia alizungumza na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Dar es salaam, Mkandarasi na wataalam wengine wa ujenzi na kujua maendeleo yao.
Meneja wa TANROADS na Mkandarasi walimueleza Mkuu wa wilaya kuwa tayari kazi imekamilika kwa asilimia 90 na kwa mbali wanatarajia kukabidhi mwezi June mwaka huu.

Saturday, April 23, 2016

MAFIKIZOLO _DIAMOND (Color of Africa)


DC HAPI ATOA MASAA 8 KUHAKIKISHA WALIO KTK HATARI YA MAAFA YA MAPOROMOKO UKWAMANI WANAPATIWA MAHALA PAKUISHI.

DC HAPI ATOA MASAA 8 KUHAKIKISHA WALIO KTK HATARI YA MAAFA YA MAPOROMOKO UKWAMANI WANAPATIWA MAHALA PAKUISHI.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Ally Salum Hapi leo ikiwa siku yake ya 6 tangu Kuteuliwa na Rais, lakini pia ni siku ya Pili (2) Tangu Kuapishwa kwake.

Mkuu wa Wilaya ametembelea eneo la Kawe Ukwamani ambalo ni Hatalishi sana kwa Kuwa na Bonde la mapolomoko ambalo Siku Chache zilizopita kuna Udongo ulikatika nakuponda Nyumba ambayo Ndani kulikuwa na Watu Watano ambao walipoteza Uhai wao.

DC wa Kinondoni Mh Ally Salum Hapi akiwa ameambatana na watendani wa manispaa ya Kinondoni akiwamo Injinia wa Manispaa, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa, Mkuu wa Police (OCD Kawe) wa Kinondoni na Maafisa wengine. Majira ya Saa Tano aliwasili kawe ukwamani kufanya ukaguzi wa eneo la Maafa.

Mkuu wa wilaya alipofika eneo hilo alishitushwa na mazingira yale ambapo Wakazi wa maeneo hayo wanaishi na Vifusi vikiwa vinaning'inia pembeni ya Nyumba zao jambo ambalo ni hatarishi sana kwa Uhai wa maisha yao ukizingatia kuna watu 5 walopoteza maisha siku chache zilizopita.

DC Hapi Ametoa Masaa 8 kwa Watendani wa Mtaa, Kata, Injinia wa Manispaa na Ofisi ya Mkurugenzi Kuhakikisha Ifikapo Saa mbili usiku wawe wamewapatia Mahala pakulala wakazi wanaoishi ktk Eneo hilo Hatarishi.

DC amewaagiza Watendaji Kuhakikisha Waliopo ktk Eneo hilo Hatarishi wanaondolewa Mara Moja Leo wasilale pale kwani ni Hatari sana hasa kipindi hiki ambacho kuna Mvua zinaendelea Jijini Dar es salaam.

Amewambia wahakikishe Wanakaa na Wananchi hao kuhakikisha wanapata Mahala Pakulala, Mwisho Saa Mbili usiku wa leo wampatie Taarifa ya Utekelezaji wa Maagizo hayo na yeye atakuwa ofisini kwake kungoja taarifa hiyo.

"Sisi watendaji tulopewa dhamana hatuwezi kukaa kimya bila kuchukua hatua huku wananchi wetu wako ktk Hatari kubwa ya maafa, na wapa Muda ifikapo saa mbili usiku nipate Taarifa ya hatua mlizokubaliana na utekelezaji wake, mkishindwa kufanya hivo mtawajibika"

Alisema DC Hapi.

DC amesema Kama Watafeli ktk hilo basi Adhabu stahiki zitachukuliwa Dhidi yao.

Mkuu wa Wilaya Huyu ambae amekuja baada RC Paul C. Makonda inaonekana kuwa atakuwa na Speed Kali kama ya Boss wake alomtangukia ambae leo hii ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

Friday, April 22, 2016

DC KINONDONI ASIFIWA NA MEYA KWA UJASILI NA KUSIMAMIA UADILIFU

Meya wa manispaa ya Kinondoni leo amemwagia sifa Mkuu wa wilaya ya kinondoni kuwa ni kiongozi mwenye msimamo wa hali ya juu na mwe uwezo wa kusimamia maadili katika utendaji wa kazi





CLOUDS360 WATEKELEZA ''AGIZO'' LA RAIS JPM

Clouds360 watekeleza "agizo" la Rais.
Mwezi uliopita, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli alipiga simu katika kipindi cha ‪#‎Clouds360‬. Rais alishauri kwamba, itapendeza kama Watangazaji wa Clouds360 watakuja studio na wenza wao ili Watanzania wote wawaone.
Leo asubuhi, watangazaji Hudson Kamoga, Babbie Kabae na Samweli Sasali walitekeleza agizo hilo la Rais. Wenza wao Monica (Mke wa Hudson) Sadiq ( Mume wa Babbie) na Milembe (Mke wa Sam) walitinga kwenye kipindi.
Clouds360 ni kipindi namba moja cha Televisheni ambacho huruka J3 hadi Ijumaa kuanzia saa 12 hadi 4 kamili Asubuhi.
‪#‎CloudsMediaGroup‬
‪#‎TunakufunguliaDuniaKuwaUnachotaka‬

LADY JAYDEE NDANI YA FRIDAY NIGHT LIVE (FNL)

#FNL (Saa 3:00 Usiku) USIKU  WA JIDE
Leo ni usiku wake, Malkia wa Bongo fleva Lady Jaydee, kwenye Exclusive interview ndani ya #FNL saa 3:00 usiku akitambulisha video yake mpya ya NDINDINDI.  Atafunguka mengi ambayo ungependa kuyajua, maisha yake na muziki wake. Hii si ya kukosa na inatokea mara moja tu.

GARI ILIYO TUMBUKIA BAHARINI (FELI )IMEPATIKANA

MEYA WA KINONDONI AMFAGILIA DC WA KINONDONI KWENYE KIKAO

MEYA WA KINONDONI AMFAGILIA DC HAPI KIKAONI
Meya wa manispaa ya Kinondoni Mh. Boniphace leo amemuelezea Mkuu wa wilaya ya Kinondoni kuwa ni mtu mwenye historia ya uchapakazi, msimamo usioyumba na mwenye uwezo mkubwa wa kusimamia uadilifu. Meya ameyasema hayo akifungua kikao cha baraza la madiwani wa manispaa ya Kinondoni ambapo alimualika Mh. Mkuu wa Wilaya Ally Salum Hapi kusalimia na kutoa salamu zake kwa baraza hilo. Mheshimiwa Meya Boniphace ameliambia baraza hilo kuwa anamfahamu Mh. Hapi kwakua amesoma nae chuo Kikuu cha Dar es salaam alipokua anasoma masomo ya ualimu.
"Nilimfahamu pale Chuo Kikuu alipokua anasomea Sheria nami ualimu, japo yeye alikua reli ya Kati (CCM) nami nilikua reli ya Tazara (Chadema) tangu wakati huo hadi sasa. Ninamuamini katika uwezo wake na kasi ya uchapakazi. Hakika Rais Magufuli hajakosea kukuteua."

Katika hatua nyingine Meya amemuahidi Mkuu wa Wilaya Hapi ushirikiano wote katika kupambana na changamoto za wananchi wa Kinondoni za madawati, watumishi hewa, ardhi na ufisadi.
Katika salamu zake baada ya kukaribishwa, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Hapi alimshukuru Mstahiki Meya kwa heshima kubwa aliyompa na kumuahidi kuwa ataiongoza vema Kinondoni katika kutatua kero za wananchi. Hapi alieleza kuwa vipaumbele alivyovitoa Mh. Rais vya watumishi hewa, madawati, afya , usafi na vita dhidi ya rushwa ndiyo mambo ambayo tayari ameanza nayo.
"Siamini kama Kinondoni inaweza kuwa na watumishi hewa 34 pekee. Nimeagiza kazi zaidi ifanyike, na kikao idara ya manispaa ifungue mafaili mapya la uhakiki yenye picha ya kila mtumishi, barua yake ya ajira na nyaraka zote zinazoonesha majukumu yake na aliko. Hii ni katika kubaini nani ni nani, yuko wapi na anafanya nini wakati wa ukaguzi wa ana kwa ana."
Mkuu huyo wa wilaya ya Kinondoni amesema tayari watumishi hewa wasiopungua 10 wamekamatwa na wengine 7 wamelipa fedha kiasi cha milioni 40 walizotia hasara serikali.
"Mchana wa leo nimetaka taarifa ya maandishi kutoka kwa Ofisi ya Mkurugenzi juu ya watumishi hewa. Ndani ya saa 1 nikapewa taarifa kuwa tayari hiyo na kuagiza vyombo vya dola viwakamate watumishi hewa waliobakia."
Kuhusu msimamo wake juu ya Kinondoni Mkuu wa Wilaya alisema kuwa Rais amemuamini na kumtuma kuwatumikia wana Kinondoni, na kwamba atafanya kazi hiyo usiku na mchana.
"Nimetangaza vita dhidi ya rushwa, maana Kinondoni inanuka rushwa. Watumishi wote wasio waadilifu wanaoiba pesa za umma na kujinufaisha wao na familia zao nitashughulika nao.
Aidha watumishi wanaomiliki makampuni na kujipa tenda kwa mlango wa nyuma wajiandae, maana nitawasaka popote walipo na sheria itachukua mkondo wake. Hapi alisema sheria na taratibu za utumishi wa umma haziruhusu mtumishi wa umma anayetoa huduma kutangaza tenda ofisini kwake na kisha kuipa kampuni yake au ya familia take.
Akitoa shukrani kwa niaba ya baraza, Mbunge wa Ubungo Saidi Kubenea amemshukuru Mh Mkuu wa Wilaya na kuahidi kumuunga mkono katika vita dhidi ya rushwa na ufisadi.
Hata hivyo Mh. Kubenea ametaka sheria na taratibu kufuatwa ili kuhakikisha hakuna mtu anayeonewa katika mapambano hayo.
Baraza la madiwani la Manispaa ya Kinondoni lilikutana leo saa 11 jioni katika ukumbi wa manispaa.

SIFA ZA MWANAMKE WA KUOA

KWA WANAWAKE...!

ARE  YOU WIFE MATERIAL ? (una sifa za kuwa mke?). SOMA HAPA..!!

Ni kwa muda mrefu umelia kutokana na kuumizwa na wanaume, umekuwa na majeraha mengi na vidonda visivyo tibika hadi umefikia hatua ya kuona mapenzi machungu na kutamani kuishi peke yako, pengine umefikia mahali unaona bora utafute mtu wa kuzaa nae tu ila si kuolewa.

'wanaume ni waongo ',' wanaume wote ni wale wale '., mapenzi ya siku hizi hayana maana' 'bora niishi peke yangu ' Ni kauli ambazo mara nyingi unajiambia.. Lakin labda nikuulize ulishawahi kujiuliza kwanin hayo yote yanakupata? Ulishawah kujiuliza tatizo lipo wapi? Kujua tatizo ni nusu ya kupata suluhisho la tatizo.!

Nikusaidie sehemu ambayo wasichana wengi mnafeli, unajua jinsi unavyojiweka ndivyo watu watakavyokuchukulia, jinsi unavyo vaa, mambo unayo yawaza na jinsi unavyoongea utavuta aina ya marafiki na wanaume wanaofanana na wewe 'Equal attracts equal' psychology inasema hivyo, au kwa lugha nyingine watalaam wanaita 'law of attraction'.!

Eneo la kwanza la kuangalia, ni jinsi unavyo vaa..! Nguo unazo vaa zinakutambulishaje kwa watu? Nguo za kuacha maziwa yako yote nje, nguo zinakubana na kukuonesha maumbile yako yote mpaka nguo ya ndani uliyo vaa inaonekana, mapaja asilimia kubwa yapo nje.. Kwa uvaaji huu unategemea kupata mwanaume 'decent' wa kukuoa? Je unastahili kupelekwa ukweni na kutambulishwa kuwa ni mchumba na mke wa mtu mtarajiwa? Sikiliza ni kweli uvaaji huo utakufanya kuwavutia wanaume wengi lakini si wa kukuoa, hao wataishia kukusifia mzuri, kukutongoza, kulala na wewe kisha kukuacha.

Hakuna mwanaume anayependa mwanamke wa future anayevaa nguo zisizo na heshima, hata kama atakuambia anakupenda basi atakufanya uwe demu wa kupotezea muda tu na muda wa kuoa ukifika ataku'damp na kumchukua mwingine. Kumbuka 'hata mwizi hapendi kuibiwa'.

Acha kuishi maisha ya tamthilia, acha kujifafanya unaenda na wakati, wakati huwezi kushindana nao utaishia kujishushia heshima yako bure. Mavazi ni kitambulisho kikubwa sana, ukimuona askar utamfahamu kwa kuangalia nguo zake, ukimuona daktari utamfahamu kwa kuangalia nguo zake, mchungaji, shekhe, n. k Je nguo zako zinakutambulisha wewe nani? Kuwa mpole, acha wakati upite wewe baki na heshima yako.!

Jambo lingine la kuangalia ni jinsi unavyo waza na maongezi unayoongea.! Una miaka 2 au 3 upo kwenye uhusiano kila siku maongezi yako ni 'baby umeamkaje', 'umekula? ',' hubby nimekumic ',' leo utanitoa out? ',' kuna blauzi nzuri nimeiona utaninunulia? 'hivi hakuna maongez mengine ya maana ya kuongea mbali na hayo? Kama una umri chini ya 20 una haki kufanya hayo, lakini kama upo zaidi ya hapo dada yangu nakupa Pole. Kama kijana uliye nae wewe ni msichana wake wa 3 au 4 ni kitu gani atakiona kwako cha utofaut ili umshawishi kukuoa akilinganisha na wale wasichana wake waliopita? Be creative dada! Ndoa si kitu Cha mchezo.

Kwanin usitake kujua ana mipango gani kwenye maisha? Kwanin usimshauri kununua kiwanja au kufungua biashara? Kwanin usimuambie mjaribu kupunguza out zisizo na lazima na muweke pesa bank? Utaniambia mambo hayo utayafanya kwenye ndoa ukiolewa, Nyota njema uonekana asubuhi kama sijayaona hayo sasa ya nini kufikiria kuwa na wewe? Jenga ushawishi mapema.!

Unatumia muda mwingi kubadilisha mitindo ya nguo na nywele, kila wigi unataka kununua. Hivi unafikir ukiwa kwenye ndoa tutakula wigi lako? Na hayo makucha uliyofuga utaweza kunifulia nguo kweli? Utaweza kufua nepi za watoto? Si utaniambia nitafute msichana wa Kazi au washing machine mikono itachubuka? Sikiliza dada yangu nikuambie hakuna furaha kwa mwanaume kama kumuona mke wake akimfulia nguo, kunyosha nguo zake, kumpikia n. k hata kama si kila siku lakini atapenda akuone ukifmfanyia  hayo pindi ukipata nafasi na si binti wa Kazi.

Unataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa ili upate mtelemko, Sikiliza dada hakuna mwanaume anayependa goalkeeper hata kama ana uwezo, nowdays wanaume wanataka wanawake ma'fighter kwa lugha ya kisaa wanasema 'jembe'. Badilika, jirembe sawa lakini usisahau kuuremba uzuri wako wa ndani ambao ni UFAHAMU wako kama mwanamke.! Uzuri wako bila kuwa na akili nzuri biblia inafananisha na kitu Cha THAMANI kilicho sehemu ya OVYO isiyo na HESHIMA.

"mwanamke mzuri asiye na akili ni kama Pete ya DHAHABU puani mwa NGURUWE " Mithali 11:22..!

Hapa sijaongolea kuhusu lugha za mkato unazo mjibu mpenzi wako, kiburi, hasira na kununa bila sababu za msingi, kuruhusu mwanaume kulala na wewe kabla ya ndoa (NA HAPA KUNA SHIDA SI KIDOGO) muda haunitoshi kuyaongolea hayo kwa sasa, Mungu akipenda tutayaangalia siku nyingine. lakin kwanin mwanamke? Kwa sababu wewe ndio muhimili mkubwa wa ndoa, kusimama au kuvunjika kwa ndoa kuna kutegemea wewe. Ndoa itapona kwa HEKIMA yako na itavunjwa na UPUMBAVU wako.!

Naomba niishie hapa kwa leo...!

BE STRONG WOMAN, BE WOMAN OF PRINCIPLES, BE A GOOD WIFE, BE A ROLE MODEL TO YOUR CHILDREN.!

kumuelimisha mwanamke ni  kuelimisha jamii, I HOPE NIMEELIMISHA JAMII.!

# WANAWAKE MNAWEZA MKIJITAMBUA #

(share kwa wanawake wengine)

Na Mwl John Charles Ntogwisangu.

Thursday, April 21, 2016

Deput Minister HAMISI KIGWANGALLA Akikagua Hospital Kilimanjaro

Akikagua theatre ya hosipital ya mkoa wa Kilimanjaro ,Mawenzi Hospital.Hii nimoja ya theatre ya kisasa kabisa nchini sambamba na mradi huu aalikagua mradi wa ujenzi wa jengo jipya ya hospitali ya Mama na matoto

ZIARA YA VIONGOZI WA SHIRIKISHO ELIMU YA JUU DODOMA

Shirikisho la elimu ya juu lililo anzishwa may 14 -2012 kwa malengo ya kusimamia haki na matatizo ya wanafunzi wa elimu ya juu kama vile mikopo na ajira

Mwenyekiti shirikisho elimu ya juu Tanzania akiwa kwe ziara katika tawi la hombolo mkoani DODOMA


Viongozi wa tawi la hombolo wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa shilikisho la elimu ya juu Tanzania Bi ZAINABU ABDALLAH pia 

FAREED MUSA wa Azam kuelekea Hispania leo kwa Majaribio

winga chipukizi wa klabu ya Azam fc Fareed Mussa (wa katikati) leo hii anatarajia kuondoka nchini hapa na kuelekea Hispania kwa majaribio ya kucheza soka la kulipwa
    Fareed huko atafanya majaribio na timu za MALAGA na LAS PALMAS Atarejea tanzania may 19

Real Madrid to offer Cristiano Ronaldo new £16.5m-a-year contract after U-turn on star forward's future

Real Madrid look set to complete their U-turn on the future of Cristiano Ronaldo by offering him a contract extension that will keep him at the club until he is 35. 
Madrid president Florentino Perez started the season with the intention of cashing in on Real's all-time record goalscorer with Paris Saint-Germain ready to pay close to €100million (£80m) for his services.
But Ronaldo has broken the 30-goal barrier for the sixth straight season and Gareth Bale - the man Perez wants to replace the Portuguese star as Madrid's talisman - has again missed part of the season through injury.
There is unlikely to be any great change to Ronaldo's current £16.5m per year salary, rather Madrid have prioritised simply extending his stay at the club. 
Real Madrid look set to offer star striker Cristiano Ronaldo a new contract to keep him at the club until 2020
Real Madrid look set to offer star striker Cristiano Ronaldo a new contract to keep him at the club until 2020
The Portugal captain has been in prolific form this season and the Spanish giants are keen to retain him
Madrid need to buy big this summer because a FIFA transfer ban will begin in January 2017 and they need to raise money to fund the spending. 
Flogging Ronaldo whose current deal runs out in 2018 looked like being the best way of doing that. 
But there has been a change of plan at the Santiago Bernabeu and Colombian midfielder James Rodriguez and Spanish forward Isco now look like being the highly-priced sacrifices.

Mkuu wa wilaya ya kinondoni ALLY SALUM Akiapishwa

Mkuu wawilya mpya Bwana ALLY SALUM ameapishwa Leo katika ofisi za  mkuu wa mkoa wa Dar es saal

        SwaggssTV news room





Wednesday, April 20, 2016

Arsenal 'lead race to sign Borussia Monchengladbach star Granit Xhaka'

Granit Xhaka has been linked with Arsenaln
Arsenal are reportedly confident of signing Borussia Monchengladbach's sought-after midfielder Granit Xhaka. The 23-year-old Swiss star has been linked to a host of clubs in recent months, but Gunners boss Arsene Wenger is said to have stolen a march on his rivals.
Xhaka is regarded as one of the best young midfielders in Europe and is apparently a long-term target of the north London club. Wenger is in desperate need of a player to fill the defensive midfield role this summer and the Frenchman sees Xhaka as the perfect candidate for the job.
Liverpool and Chelsea have also been credited with an interest in the eye-catching player, butArsenal are leading the extensive queue for his signature, according to ESPN.
Arsenal have opened preliminary talks with Monchengladbach over a transfer, sources close to the situation have claimed. What's more, it is said Xhaka is keen on a move to Emirates Stadium, havingpreviously stated his desire to play in the Premier League.
However, the eventual transfer fee may transpire to be a sticking point, with the German club demanding a fee of £34m ($48.8m) for their prized asset and Arsenal are not willing to pay more than £30m.

PICHA 5 ZA MKUU WA WILAYA MPYA WA KINONDONI AKIWA CLOUDS

Leo mkuu wa wilya ya kinondoni ametembelea ofisi za clouds radio na Tv na kuonana na mkurugenzi mkee bwana Ruge Mutahaba pamija na kufanya mazungumzo na management ya Clouds Media pia mkuu wa wilaya huyo atapata nafasi ya kuwepo kwenye kipindi cha jahazi jioni




Theory of cost


Tuesday, April 19, 2016

How to find total product marginal product average product


Manchester United put back season ticket renewal date to fuel Mourinho speculation


Mourinho could become the next United manager
Manchester United have put back the renewal date for season ticket holders amid the likelihood Jose Mourinho will take over as manager in the summer.
United have sent season ticket holders an email informing them the deadline for renewing is now June 1 instead of May 20, citing the club's possible participation in the FA Cup final.
However, the move has further aroused suspicion that the club is planning on a change of manager, after Louis van Gaal was omitted from the pre-season tour promotional videolast month.
The email states: "Having qualified for the FA Cup semi-final after a thrilling replay against West Ham United, and with the club aiming to progress to the FA Cup final, we have decided to move the season ticket renewal deadline back from Friday 20th May, to Wednesday 1st June in order to give supporters more time to pay."Mourinho could become the next United manager

Supporters have the option of an 'early bird' deadline offer, in which they would be rewarded with a 'free, exclusive, limited-edition club scarf'.
M.E.N. Sport reported at the weekend Mourinho is now 'certain' he will replace Van Gaal , whose management has irked thousands of matchgoers, in the summer.
United supporters from different generations have insisted they will not renew for next season if Van Gaal remains in charge. The Dutchman has become infamous for his sterile style of football during his 20 months in charge of United

Chris Brown Seen In The Studio With Drake

Reported by TMZ, it looks like Chris Brown and Drake are putting their differences behind them to spend some time in the recording studio. The “Loyal” hit-maker was photographed over a mixing board with the Canadian rapper at his side, squashing rumors that the pair have beef over romancing the elusive Rihanna.
It’s unclear whether or not the two are recording a song together, or one of them is playing the other a track and looking for feedback. With a new Drake album apparently on the way (ever since he put out the hot new track “0 to 1oo”), there’s a chance Brown could be lending a verse onto the rumored LP.
Who knows? Chris Brown could be doing some last-minute recording for his long-awaited album X, which was supposed to drop last summer and still hasn’t seen the light of day.